Maneno ya kielecteoniki.. tafriri yake


Najua sisi sote  *_kundi sogozi_* tunamiliki _*simu tamba*_. Tuweni makini kwani kutumia _*sikanu*_ zetu _*mkondoni*_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi hutuma _*maunzi laini*_ yanayoweza kuharibu _*kitumi*_ chako au kuingilia _*makavazi*_ ya _*sikanu*_ yako. Wakishatuma _*maunzi laini*_ hayo nawe pasi na kujua ukibofya _*kiungo*_ kilichobeba _*maunzi laini*_ unakuwa _*umeshapakua*_ na _*kusanidi mtaliga*_ wenye uwezo wa kubadili au _*kughushi nenomsingi*_ lako na hivyo kunyima uwezo wa kuitumia _*sikanu*_ yako kwa kuifanya _*puku*_ kushindwa kutambua amri unazoipatia _*baobonye*_ ya _*kiwambagusa*_ cha _*sikanu*_ yako.


*JE KISWAHILI KITUMIKE KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA KWA NGAZI ZOTE ZA ELIMU?*


⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇

*Tafsiri  ya maneno hayo*


1. Kundi sogozi = chatting group

2. Sikanu = smartphone

3. Kitumi=device

4. Maunzi laini=software

5. Kiungo=link

6. Kusanidi=install

7. Mtaliga=virus

8. Neno msingi=keyword

9. Puku=mouse

10.Baobonye=keyboard

11. Kiwamba gusa=touch screen

12. Makavazi=archives

13. Simu tamba=mobile phone

14. Mkondoni=online

15. Pakua=download

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form