SIMBA Vs YANGA 2022

 


Simba 3 Yanga 1: Yanga yailambisha Simba sakafu na kutibua sherehe za ubingwa


Klabu ya Yanga imewachapa watani wao wa jadi Simba SC na kuizuia klabu hiyo kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania kwa msimu wa 2020/2021.

Mabingwa watetezi Simba walihitaji kupata alama tatu ili kutawazwa mabingwa kwa msimu wa nne mfululizo.

Hata hivyo goli la dakika ya 13 lililofungwa na Zawadi Mauya liliitosha Yanga kuifunga mdomo Simba na kulinda hadhi yake. Laiti Yanga ingelifungwa, maana yake watani wao wangetangazwa mabingwa kupitia mgongo wao.

Hata hivyo licha ya kufungwa bado Simba wapo katika nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa. Simba sasa inahitaji kushinda michezo miwili kati ya minne aliyosalia nayo ili kuchukua ubingwa. Hata hivyo, ubingwa huo utakosa kionjjo muhimu cha kumfunga Yanga katika mechi zote mbili za msimu huu. Mechi ya raundi ya kwanza Simba na Yanga zilitoka sare ya goli 1-1.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form